Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: VIJANA WAMETAKIWA KUJISHUGHULISHA NA KILIMO KUWA KINALIPA ZAIDI
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
  Vijana   wametakiwa   kujishughulisha   na   kilimo   kuwa   kinalipa   zaidi   kuliko   kukimbilia   kazi   zenye starehe   kitu am...
 
Vijana  wametakiwa  kujishughulisha  na  kilimo  kuwa  kinalipa  zaidi  kuliko  kukimbilia  kazi  zenye starehe  kitu ambacho  kinachangia  kuwaingiza  vitendo  viovu  na  kujikuta  kwenye   wakati  mgumu.
Hii  ni  Kauli  ya  kijana  mmoja  wilayani  Bukombe  ambaye  anajishughulisha  na  kilimo  cha matikiti  maji  wakati  akiongea  na  mwanadishi  wa  mtandao  akiwa  ni  mmoja  wa  wateja  wa  matunda  hayo.

Ni kwambie  kijana  awe  mvumilivu  haya  matikiti  maji  unavumilia  siku  65  tu  na  hapo  unaanza  kuvuna  na  kujipatia  kipato  unaona  haya  yote  nilivuna  matikiti  maji  1800  moja  naliuza  kuanzia  sh 2000  hadi 5000  kulingana  na ukubwa.
Tatizo  la  vijana  wenzangu  ni  kupenda  mafanikio  ya  siku  mbili  wavumilie  watapata  mafanikio”Alisema  kijana  huyo

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top