Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: WATU WASIOJULIKANA WAMECHOMA KANISA LA ROMANI KATOLIKI NA KUTEKETEZA MALI ZOTE
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
  Watu   wasiofahamika   wamelichoma   na   kuliteketeza   kwa   moto   Kanisa   la   Romani   Katoliki   Kigango   cha   Nyarwele   Pa...

 
Watu  wasiofahamika  wamelichoma  na  kuliteketeza  kwa  moto  Kanisa  la  Romani  Katoliki  Kigango  cha  Nyarwele  Parokia  ya  Kimiza  jimbo  Katoliki  la  Kayanga  wilayani  Karagwe  Mkoa  wa  Kagera   pamoja  na  mali  zote  zilizokuwemo  ndani  yake  ambapo  thamani  yake  haijajulikana  mara  moja  kwa  sasa  wanaendelea  na  tathimini.

Tukio  hilo  limetokea  usiku  wa  kuamukia  jana(Leo) ambapo  watu  wasiofahamika  walichoma  Kanisa  hilo  na  kuteketeza  mali  yote  iliyokuwa  ndani  ya  kanisa  hilo  na  kusababisha  hasara  kubwa  kwa  waumini  walioachwa    bila  kitu  huku  wakitafakari  watakavyoanza  ujenzi  wa  Kanisa  Jingine.







About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top