Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: RAIS JOHN MAGUFULI ZIARANI MKOANI KAGERA KWA SIKU MBILI
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dk  John   Pombe  Magufuli  anatarajia  kuwasili Bukoba  Kesho  Januari  mosi  mwaka 2...



Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dk  John   Pombe  Magufuli  anatarajia  kuwasili Bukoba  Kesho  Januari  mosi  mwaka 2017  kwa  ziara  ya  kikazi  ya  siku  mbili   akitokea  mkoani  Geita.


Kwa  mujibu  wa  taarifa  iliyotolewa  leo DISEMBA 31 MWAKA 2016  na  mkuu  wa  mkoa  wa  Kagera Meja  Jeneral  Mstaafu  Salum Kijuu   imebainisha  kuwa  Rais  Magufuli  atatembelea  maeneo  mbalimbali  yaliyoathiriwa  na  tetemeko  la  ardhi na  baada  ya  hapo  atahutubia  mkutano  wa  hadhara  utakaofanyika  mjini  Bukoba.


Hii  itakuwa  ni  ziara  yake  ya  kwanza  kuifanya  mkoani  Kagera  tangu  achaguliwe  kuwa  Rais  wa  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top