Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: FUATILIA HATUA KWA HATUA RATIBA YA KAZI YA MKUU WA MKOA KILIMANJARO LEO.
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
  Mkuu wa  Mkoa   wa  Kilimanjaro   Anna  Mghwira   akisaini  kitabu  cha  wageni  katika  ofisi  za  Chama  cha  Mapinduzi  CCM  mkoa ...

 Mkuu wa  Mkoa   wa  Kilimanjaro   Anna  Mghwira   akisaini  kitabu  cha  wageni  katika  ofisi  za  Chama  cha  Mapinduzi  CCM  mkoa  wa  Kilimanjaro.

 Akisalimiana  na  Viongozi  wa  CCM mkoa  wa  Kilimanjaro  aliowakuta  kwenye  ofisi  za CCM













 Mkuu wa  Mkoa   wa  Kilimanjaro   Anna  Mghwira   akisaini  kitabu  cha  Maombollezo  nyumbani  kwa  Marehemu   Dk  PHILEMON   NDESAMBURO  aliyefariki  mapema  mwezi  huu.




 Akimfariji   Mjane  wa  Ndehorio  Ndesamburo   na  kuwataka  familia  hiyo  kuwa  wavumilivu  katika  kipindi  hiki  kigumu  ambacho  wanaomboleza  kifo  cha  mpendwa  wao  ikumbukwe  Anna  Mghwira   amesomea  Theologia

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top