Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: BUNGENI KWA CHAFUKA SHUGHULI ZA BUNGE ZAHAIRISHWA KWA MUDA KISA WANAFUNZI UDOM
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
Naibu  Spika  wa  Bunge  la  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dk  Tulia  Ackson amelazimka  kuhairisha  shughuli  za  Bunge  ambapo ...
Naibu  Spika  wa  Bunge  la  Jamhuri  ya  Muungano  wa  Tanzania  Dk  Tulia  Ackson amelazimka  kuhairisha  shughuli  za  Bunge  ambapo  wabunge  wamegoma  wakitaka  kujadili  suala  la  wanafunzi 7000 wa  chuo  kikuu  cha  Dodoma  maarufu  Kama  UDOM kufukuzwa  ambapo  mbunge  Joshua  Nasari  wa  Arumeru  Mashariki  ndiye  aliyewasilisha  hoja  ya  kutaka  kuhairisha  shughuli  nyingine  za  Bunge  kwanza  wajadili  jambo  la  dharula  kuhusu  wanafunzi  hao.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top