Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: WAHAMIAJI HARAMU 51 WANASWA MKOANI KIGOMA
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
Wahamiaji 51 kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi wamekamatwa mkoani Kigoma wakiwa wameingia na kuishi nchini kinyume cha...

Wahamiaji 51 kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi wamekamatwa mkoani Kigoma wakiwa wameingia na kuishi nchini kinyume cha sheria

Kamanda wa Polis Mkoa wa Kigoma Fredinand Mtuhi amesema wahamiaji hao wamekamatwa katika msako mkali uliofanywa na vyombo vya dola katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kigoma.

Ameongeza kuwa katika operesheni hiyo pia lita 302 za pombe haramu ya gongo zimekamatwa pamoja na debe tatu za bangi.

Kamanda Mtuhi amesema watuhumiwa wa uhamiaji na waliokamatwa na bangi na gongo  watafikishwa mahakamani wiki ijayo  baada ya uchuguzi kukamilika.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top