Kaya 200 zilizolima
katika vyanzo vya maji katika kijiji cha Mikale na Kiwela katika kata ya
Kabilizi wilayani Muleba mkoani Kagera zimepewa wiki mbili kuondoa mazao yao
katika vyanzo hivyo.
Afisa kilimo wa
vijiji hivyo viwili Benedicto Karoli
amesema kuwa wameshafanya utafiti katika vijiji hivyo na kubaini kuwa kuna kaya
mia 2 ambazo zimelima katika vyanzo vya maji.
Karoli amesema kuwa wananchi hao wanatakiwa
kuacha tabia ya kulima katika vyanzo vya maji kwani kwa kufanya hivyo ni
kinyume na sheria ambapo wananchi wanatakiwa kukaa mita 60 kutoka katika vyanzo
vya maji ili kusaidia kutunza mazingira.
Amesema kuwa kila
mwananchi anatakiwa kutunza mazingira yanayomzunguka kwani kwa kufanya hivyo
itasaidia kutunza vyanzo vya maji katika vijiji hivyo.
Aidha amesema kuwa
kwa watakaoshindwa kutoa mazao yao katika vyanzo vya maji ndani ya wiki mbili
hizo zilizotolewa watafikishwa katika vyombo vya sheria.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- KAGERA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KUENDELEA KUJIIMARISHA KUWALINDA RAIA NA MALI ZAO25 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Vyombo ya Ulinzi na Usalama Mkoani Kagera vyafanya mazoezi ya ...Read more »
- MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA WILAYA ZA KARAGWE NA NGARA PIA HITIMISHO WILAYANI BIHARAMULO MKOANI KAGERA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mwenge wa Uhuru waendelea kuchanja mbuga Mkoani Kagera kwa ku...Read more »
- MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI KAGERA NA KUANZA UZINDUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA ZAIDI YABILIONI 1216 Apr 20180
Na: Sylvester Rapahel Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo April 8, 2018 Mkoani Kagera na...Read more »
- TIMU YA WATAALAM WA UJENZI KUTOKA NCHINI CHINA YAKAGUA ENEO LA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA ILI KUANZA UJENZI MARA MOJA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Serikali ya Watu wa China yatuma timu ya Wataalam wa Usanif...Read more »
- MKOA WA KAGERA WAVUKA LENGO KATIKA UNDIKISHAJI WA WANAFUNZI AWALI NA DARASA LA KWANZA MWAKA 201816 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mkoa wa Kagera wavuka lengo la uandikishaji wa Wananfunzi katika madarasa...Read more »
- MKUU WA MKOA KAGERA AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUFIKISHWA OFISINI KWAKE AKIWA NA PINGU MIKONONI BAADA YA KUITIA SERIKALI HASARA08 Mar 20180
Na Sylvester Raphael Mkuu wa Mkoa wa Kagera aagiza Mkandarasi wa Kampun...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.