Wenyeviti
wa vijiji na watendaji wa ngazi zote
katika kata ya Kabilizi wilayani Muleba wameagizwa kuunda kamati ya
kudhibiti madawa ya kulevya katika kata hiyo .
Agizo hilo
limetolewa na diwani wa kata ya Kabilizi Solomoni Karuga wakati akikagua
shughuli mbalimbali za kimaendeleo zinazofanywa na wakazi wa kata hiyo.
Karugaba amesema kuwa viongozi hao wanatakiwa
kuunda kamati ambayo itazungukia maeneo yote ya kata hiyo kutoa elimu juu ya
madhara ya utumiaji wa madawa ya kulevya . na kuhakikisha hakuna matumizi ya
aina yoyote ya madawa ya kulevya wala kijiji kinachojishughulisha na ulimaji wa
bangi katika maeneo yao.
Karugaba
amesema kuwa kamati hiyo itakayoundwa inatakiwa kuwa inatoa taarifa kwa kila
eneo itakalokuwa inazungukia jambo
ambalo litasaidia kukomesha matumizi ya madawa ya kulevya kwani vita hiyo ni
yakila mmoja .
Hata hivyo
ameongeza kuwa baada ya kubaini kuwa
vitendo hiyo kuwa vipo kwenye kata hiyo wanatakiwa kutoa taarifa kwa diwani huyo
mara moja ili hatua za kisheria zifuatwe.
Aidha
amesema kuwa kata hiyo yenye vijiji vitano bado haijabaini kuwepo kwa matumizi
ya madawa ya kulevya au kuwepo kwa eneo linalolima bangi mpaka sasa.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- KAGERA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KUENDELEA KUJIIMARISHA KUWALINDA RAIA NA MALI ZAO25 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Vyombo ya Ulinzi na Usalama Mkoani Kagera vyafanya mazoezi ya ...Read more »
- MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA WILAYA ZA KARAGWE NA NGARA PIA HITIMISHO WILAYANI BIHARAMULO MKOANI KAGERA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mwenge wa Uhuru waendelea kuchanja mbuga Mkoani Kagera kwa ku...Read more »
- MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI KAGERA NA KUANZA UZINDUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA ZAIDI YABILIONI 1216 Apr 20180
Na: Sylvester Rapahel Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo April 8, 2018 Mkoani Kagera na...Read more »
- TIMU YA WATAALAM WA UJENZI KUTOKA NCHINI CHINA YAKAGUA ENEO LA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA ILI KUANZA UJENZI MARA MOJA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Serikali ya Watu wa China yatuma timu ya Wataalam wa Usanif...Read more »
- MKOA WA KAGERA WAVUKA LENGO KATIKA UNDIKISHAJI WA WANAFUNZI AWALI NA DARASA LA KWANZA MWAKA 201816 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mkoa wa Kagera wavuka lengo la uandikishaji wa Wananfunzi katika madarasa...Read more »
- MKUU WA MKOA KAGERA AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUFIKISHWA OFISINI KWAKE AKIWA NA PINGU MIKONONI BAADA YA KUITIA SERIKALI HASARA08 Mar 20180
Na Sylvester Raphael Mkuu wa Mkoa wa Kagera aagiza Mkandarasi wa Kampun...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.