Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: WATANZANIA WAAMKA SASA WAANZA KUTEMBELEA VIVUTIO NA HIFADHI
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
Mazoea ya watanzania kutotemelea vivutio vya utalii wa ndani huenda ikabaki historia.   Wanahabari watanzania wakipata...


Mazoea ya watanzania kutotemelea vivutio vya utalii wa ndani huenda ikabaki historia.


 Wanahabari watanzania wakipata maelezo kutoka kwa  Allan Yohana mtembeza watalii(kulia) -Mapango ya Amboni Tanga.

Asilimia 98 ya watalii wa ndani  na asilimia 2 kutoka nje wanaotembelea Mapango ya Amboni yaliyopo Mkoani Tanga kaskazini mwa Tanzania ni kiashiria kuwa uelewa wa watanzania juu ya umuhimu na faida za utalii.

 Video ya  Muhifadhi wa mapango hayo Jumanne Gekora

Wanzafunzi ni Miongoni mwa watu 50  ambao hutembelea mapango ya Amboni kwa siku, ikiwa ni ziara zao za mafunzo.


Wanafunzi wa shule ya Sekondary Old Tanga

Baadhi ya watalii  hutembelea eneo  hilo kwa ajili ya kufanya matambiko.




Eneo la pango linalotumiwa kwa ajili ya matambiko.


Ingawa Wenyeji waishio katika eneo la mapango ya Amboni  huyatumia zaidi kama sehemu ya matambiko lakini yapo mambo mbengi ya kujifuza.


Sauti  ya Allan Yohana muongoza watalii akifafanua


Huu umekuwa utamaduni wa watanzania wanaoishi karibu na vivutio vya utalii kama mapango, Chemichemi za maji moto, Makumbusho na Misitu kuvitumia kwa ajili ya matambiko.

Maneno Muhimu:  Utalii Tanga, Elimu ya Utalii, Mapango Amboni, Matambiko, Imani za Asili, Sayansi na teknolojia, Mizimu, maajabu ya mapango, Utalii Tanzania, Historia ya Tanzania, Ziara za mafunzo, Amboni Caves in Tanga, Miujiza,Utalii wa malikale, Tourism in Tanga,Historia ya mapango Duniani, Sheria za hifadhi ya mapango, Hifadhi za Taifa, Tanga  Tourism, Utalii wa Ndani, Amboni Caves in Africa, Hertage, Utarii urithi wetu, Amboni Caves in Tanzania, Utalii na utamaduni.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top