Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: KUKAMATWA NA KUSAFIRISHWA KWA ESTER BULAYA ULIKUWA SAHIHI? JE,ILIZINGATIA KUBANA MATUMIZI?
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
Hivi  unadhani  ni  Busara  na  matumizi  sahihi  ya  raslimali  za  nchi  kwa  kitendo  cha  Spika  wa  Bunge  la  Jamhuri  ya  Muungano ...
Hivi  unadhani  ni  Busara  na  matumizi  sahihi  ya  raslimali  za  nchi  kwa  kitendo  cha  Spika  wa  Bunge  la  Jamhuri  ya  Muungano kutoa   kibali  cha  kumkamata  Ester  Bulaya  Mbunge  wa  Bunda  Mjini na  kumsafirisha  kutoka  Mwanza  tena  kwa  ndege  mpaka  Dar  es  Salaam chini  ya  ulinzi  wa  polisi  kisa  kuhojiwa na  kuachiwa  huru.

Kulikuwa  na  uharaka  gani  je,sera  ya  kubana  matumizi  kwa  mhimili  wa  bunge  hawaungi  mkono  jitihada  za  Rais  Magufuli?Au ndiyo  kusema  Bungeni  ni sehemu  ya  kuchuma?Baadae  Bulaya  alisema  pesa  iliyotumika  kumsafirisha  ingesaidia  kukarabati  kituo  cha  polisi 
TOA   MAONI  YAKO  HAPA.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top