Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: MSIBA MZITO KWA ULIMWENGU MZIMA WA WAPENDA SOKA MCHEZAJI HUYU KAFARIKI GHAFLA
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
MSIBA MZITO CAMEROON.....DOOH    Mchezaji wa timu ya taifa ya Cameroon Patrick Ekeng ( 26) amefariki dunia jana akitokea benchi na...

MSIBA MZITO CAMEROON.....DOOH 

  Mchezaji wa timu ya taifa ya Cameroon Patrick Ekeng ( 26) amefariki dunia jana akitokea benchi na timu yake ya Dinamo Bucharest nchini Romania . 

  Patrick aliingia kipindi cha pili akicheza kama kiungo wa chini lakini ghafla dakika ya 70 akiwa peke yake alianguka ghafla na kufariki . 



  Patrick aliyejiunga na timu hiyo january hii ametonesha msiba wa taifa hilo , Africa na familia ya wapenda soka duniani kukumbuka kifo kama hicho cha gwiji la soka Marc Vivien Foe mwaka 2003 ambaye naye alifariki uwanjani ghafla na akicheza nafasi hiyo hiyo. 


   Jiji la Younde na viunga vyake limezizima kwa huzuni kubwa .

Mungu akupumzishe kwa amani Patrick Ekeng

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top