Rais
Magufuli ameagiza vyombo vya usalama kuwakamata wafanyabiashara wote ambao
wameficha sukari. Amesema Serikali yake haishindwi kuagiza sukari ya
kuwatosheleza watanzania wote.
Amewaonya wafanyabiashara wanaotaka kushindana
na serikali yake kuwa umefika mwisho wao na hawatafanya tena biashara nchini.
Pia, amewataja baadhi ya wafanyabiashara walioficha sukari kuwa watapokonywa na
watagaiwa Bure wananchi kwani nao ni wahujumu uchumi_-Kateshi
Rais
ameondoka leo Dodoma kwenda Arusha kwa njia ya GARI
Njiani
anakutana na wananchi ndio alipotoa agizo hilo


Post a Comment