What's New?

1:57 PM ADC Summit 2025!

Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: WAKULIMA WA KAHAWA MKOANI KAGERA WATOFAUTIANA NA SERIKALI YA RAIS MAGUFULI
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
Wakulima wa zao la kahawa mkoa wa Kagera wametofautiana na serikali ya mkoa huo ,baada ya kuitaka seikali kutoa fulsa ya kuuza ...




Wakulima wa zao la kahawa mkoa wa Kagera wametofautiana na serikali ya mkoa huo ,baada ya kuitaka seikali kutoa fulsa ya kuuza kawaha sehemu yoyote kutokana na kushindwa kudhibiti ubora wa bei ya kahawa,uku kahawa nyingi ikielezwa kusafirishwa kwa njia ya magendo kuuzwa Uganda.


Meya wa Manispaa ya Bukoba  Chifu Kalumuna ambaye haoni umuhimu wa serikali kuwaingilia wakulima wa zao la kahawa katika biashara ya uuzaji  wa zao hilo pindi wakulima wanapovuna.



Katika kikao cha bodi ya kahawa mkoa wa Kagera kilichowahusisha ,viongozi wa serikali kutoka kila halmashauri  na wakulima ,ambapo wakulima wa zao hilo wanaeleza ugumu wa kudhibiti kahawa kuuzwa kwa magendo.


Baada ya majadiriano ya muda mrefu mkuu wa mkoa wa kagera  Meja Jenerali Mstaafu SALUM KIJUU anapiga marufuku magendo ya kahawa na kuahidi kuwachukulia hatua kali watakaobainika ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.



Zao la kahawa usafirishwa kwa njia ya magendo kwenda nchini Uganda kupitia mipaka  ya Murongo na Mtukula wilayani Missenyi.
08 May 2016

About Author

Advertisement

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top