What's New?

1:57 PM ADC Summit 2025!

Karagwe forum Karagwe forum Author
Title: WATU WATANO 5 WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KULICHOMA KANISA KATOLIKI KARAGWE
Author: Karagwe forum
Rating 5 of 5 Des:
  Watu watano   wamefikishwa   mahakamani   kwa   tuhuma   za   kuhusika   na   tukio   la   kuchoma   kanisa   la Romani Katoliki ...

 
Watu watano  wamefikishwa  mahakamani  kwa  tuhuma  za  kuhusika  na  tukio  la  kuchoma  kanisa  la Romani Katoliki  Kigango  cha  Nyarwele Parokia  ya  Kimiza jimbo  Katoliki  la  Kayanga  wilayani   Karagwe.


 Kauli  hiyo  imetolewa  leo  na  Kamanda  wa  polisi  mkoa  wa  Kagera  Agustine  Ollomi  wakati  akiongea  na  waandishi  wa  habari  mjini  Bukoba kuhusiana  na  matukio mbalimbali  yaliyojiri  mkoani  Kagera.



10 May 2016

About Author

Advertisement

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top