Unknown Unknown Author
Title: Ngoma apata shavu Nono Bondeni......./ Zamu ya nani tenaaa?
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Donald Ngoma asaini Afrika Kusini miaka mitatu Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma amesaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Polokw...
Donald Ngoma asaini Afrika Kusini miaka mitatu
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma amesaini mkataba wa miaka mitatu na klabu ya Polokwane City inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habati kutoka Afrika Kusini ikiwemo mtandao wa KickOff, Ngoma amesaini mkataba huo baada ya kufuzu vipimo vya afya katika klabu hio na anatarajiwa kujiunga nao mata baada ya mkataba wake na Yanga kuisha mwishoni mwa mwezi huu.
inadaiwa Ngoma alimalizana na Polokwane wakati alipoenda kwa ajili ya matibabu hivi karibuni.
Alisajiliwa na Yanga kama mchezaji huru mwaka 2015 akitokea Platnum Fc ya nchini kwao Zimbabwe.
Msimu uliopita licha ya kusumbuliwa na majeraha, Ngoma aliifungia Yanga mabao 8 katika mechi 18 za Ligi alizocheza, alicheza kwa jumla ya dakika 1394.
Y

About Author

Advertisement

Post a Comment

 

This Template Is Designed By Jacksay | call 0764 031 242 for this service

Top