WAKAZI watano wa manispaa Bukoba mkoani Kagera wamefikishwa katika
mahakama ya wilaya ya Karagwe kwa tuhuma ya kosa la uchomaji wa kanisa katoriki
la kijiji cha kishoju kata ya kihanga wilayani humo na kusababisha hasara ya
shilingi milioni 52.
Mbele
ya Hakimu mkazi wa mahakama hiyo Paul Magoryo mwendesha mashitaka wa jeshi la
polisi Inspekta Stivedana Webiro amedai mahakamani hapo kuwa watuhumiwa wote
kwa pamoja walitenda kosa hilo Februali 5 mwaka huu majira ya saa 9:00 usiku.
Amewataja watuhumiwa hao mahakamani hapo kwa pamoja kuwa ni Husein Omary,(33)
mkazi wa kijiji cha katoro, Abdukarim Kabaju (35) mkazi wa kata ya
Nshambya,Abdushakir Gervazi (42) mkazi wa mjini Bukoba,Yakub Swaibu(46) mkazi
wa Buyekera,na Mdashiru Wilbroad (30) mkazi wa kata ya kashai.
Washitakiwa wote kwa pamoja wamekana shitaka linalowakabili na wamerudishwa
rumande hadi juni 2 mwaka huu kesi yao itakaposikilizwa tena.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- KAGERA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KUENDELEA KUJIIMARISHA KUWALINDA RAIA NA MALI ZAO25 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Vyombo ya Ulinzi na Usalama Mkoani Kagera vyafanya mazoezi ya ...Read more »
- MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA WILAYA ZA KARAGWE NA NGARA PIA HITIMISHO WILAYANI BIHARAMULO MKOANI KAGERA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mwenge wa Uhuru waendelea kuchanja mbuga Mkoani Kagera kwa ku...Read more »
- MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI KAGERA NA KUANZA UZINDUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA ZAIDI YABILIONI 1216 Apr 20180
Na: Sylvester Rapahel Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo April 8, 2018 Mkoani Kagera na...Read more »
- TIMU YA WATAALAM WA UJENZI KUTOKA NCHINI CHINA YAKAGUA ENEO LA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA ILI KUANZA UJENZI MARA MOJA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Serikali ya Watu wa China yatuma timu ya Wataalam wa Usanif...Read more »
- MKOA WA KAGERA WAVUKA LENGO KATIKA UNDIKISHAJI WA WANAFUNZI AWALI NA DARASA LA KWANZA MWAKA 201816 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mkoa wa Kagera wavuka lengo la uandikishaji wa Wananfunzi katika madarasa...Read more »
- MKUU WA MKOA KAGERA AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUFIKISHWA OFISINI KWAKE AKIWA NA PINGU MIKONONI BAADA YA KUITIA SERIKALI HASARA08 Mar 20180
Na Sylvester Raphael Mkuu wa Mkoa wa Kagera aagiza Mkandarasi wa Kampun...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.