Wauguzi kote
nchini wanaungana
na wauguzi wenzao
duniani kuadhimisha siku
ya wauguzi ambayo ni
kumbukumbu ya Muuguzi wa
Kwanza Frolensi Mitingale ambaye ni
muasisi wa siku
hiyo kwa kuelezea
umma changamoto na mazingira
magumu ya wauguzi
ambayo aliyapitia kwa
kuwasha mishumaa kuhudumia
watu.
Akiongea na Redio Fadeco afisa muuguzi wa hospitali teule ya Nyakahanga wilaya ya Karagwe
Laingitoni Kishebuka amesema kuwa chimbuko la siku ya wauguzi duniani ni
kumbukumbu ya muuguzi wa kwanza Frolensi
Mitingale aliyehasisi huduma hii ya kiuguzi.
Kishebuka amesema licha ya kuwa siku hii huadhimishwa Mei12 lakini wauguzi wa wilaya ya Karagwe wao
wataadhimisha siku hiyo Ijumaa ya Mei13 mwaka huu katika uwanja wa mpira Changarawe ulipo
mjini Kayanga ambapo wauguzi kutoka hospitali ya Nyakahanga wataungana na
wauguzi wa kituo cha afya Kayanga kusherekea siku hiyo.
Ameongeza kuwa maandamano yataanzia katika hospitali ya
Nyakahanga hadi kituo cha afya Kayanga ambapo watawatembelea wagonjwa
waliolazwa kituoni hapo kwa ajili ya kuwasalimia na kuwapa zawadi siku hiyo.
Hata hivyo baadhi wauguzi wameshauriwa kutanguliza
uzalendo kwanza wanapokuwa wanawahudumia wagonjwa licha ya changamoto mbalimbali
zinazowakabili.
Siku ya wauguzi ambayo itaazimishwa kesho itaongozwa na
kauli mbiu inayosema kuwa wauguzi nguvu ya mabadiliko katika kuboresha huduma
za afya kwa jamii.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- KAGERA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA VYAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KUENDELEA KUJIIMARISHA KUWALINDA RAIA NA MALI ZAO25 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Vyombo ya Ulinzi na Usalama Mkoani Kagera vyafanya mazoezi ya ...Read more »
- MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA WILAYA ZA KARAGWE NA NGARA PIA HITIMISHO WILAYANI BIHARAMULO MKOANI KAGERA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mwenge wa Uhuru waendelea kuchanja mbuga Mkoani Kagera kwa ku...Read more »
- MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI KAGERA NA KUANZA UZINDUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA ZAIDI YABILIONI 1216 Apr 20180
Na: Sylvester Rapahel Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo April 8, 2018 Mkoani Kagera na...Read more »
- TIMU YA WATAALAM WA UJENZI KUTOKA NCHINI CHINA YAKAGUA ENEO LA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA ILI KUANZA UJENZI MARA MOJA16 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Serikali ya Watu wa China yatuma timu ya Wataalam wa Usanif...Read more »
- MKOA WA KAGERA WAVUKA LENGO KATIKA UNDIKISHAJI WA WANAFUNZI AWALI NA DARASA LA KWANZA MWAKA 201816 Apr 20180
Na: Sylvester Raphael Mkoa wa Kagera wavuka lengo la uandikishaji wa Wananfunzi katika madarasa...Read more »
- MKUU WA MKOA KAGERA AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUFIKISHWA OFISINI KWAKE AKIWA NA PINGU MIKONONI BAADA YA KUITIA SERIKALI HASARA08 Mar 20180
Na Sylvester Raphael Mkuu wa Mkoa wa Kagera aagiza Mkandarasi wa Kampun...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.